Mashindano Yanayoendelea

Shiriki katika mashindano mbalimbali ya ubunifu na ushinde tuzo kubwa. Kila mashindano yana lengo la kuboresha sekta tofauti nchini Tanzania.

Vijana Uchumi Challenge
Vijana Uchumi Challenge
Inaendelea

“Wana Wanafikiri, Taifa Linasonga” Shindano la wazo bora bunifu la Vijana juu ya kulinda na kukuza Uchumi wa Taifa kutokana na Changamoto Za Kimataifa. Wasilisha …

30 April 2026 0 washiriki
TSH 50,000,000

Hakuna Mashindano Yanayokuja

Mashindano mapya yatatangazwa hivi karibuni.

Hakuna Mashindano Yaliyofungwa

Mashindano yaliyokwisha yataonekana hapa.

Jinsi ya Kushiriki

1
Chagua Mashindano

Angalia orodha ya mashindano na uchague unaofaa na wewe

2
Wasilisha Mradi

Jaza fomu ya kuwasilisha mradi wako na maelezo kamili

3
Shinda Tuzo

Wapiga kura watachagua washindi na tuzo zitatangazwa