Vijana Uchumi Challenge
Business 30 Apr 2026

Vijana Uchumi Challenge

“Wana Wanafikiri, Taifa Linasonga” Shindano la wazo bora bunifu la Vijana juu ya kulinda na kukuza Uchumi wa Taifa kutokana na Changamoto Za Kimataifa. Wasilisha hapa: https://bit.ly/VijanaUchumiChallenge2026 Kabla ya Tarehe 30 April 2026. Vigezo: -Kijana Mtanzania, miaka 15 - 35. -Maneno yasizidi 300. -Video au Sauti isizidi Dakika 3. -Wazo liwe bunifu, endelevu,

Tuzo:
Mshindi wa 1: TSH 30,000,000 Mshindi wa 2: TSH 15,000,000 Mshindi wa 3: TSH 5,000,000
0 washiriki

Wasilisha Mradi Wako

Wasilisha mradi wako kwa mashindano ya Vijana Uchumi Challenge. Fuata hatua zilizo hapa chini na wasilisha mradi wako kwa urahisi.

Vijana Uchumi Challenge

Jinsi ya Kuwasilisha Mradi Wako

Fuata hatua hizi rahisi ili kuwasilisha mradi wako kwa mafanikio

1
Andika Maelezo ya Mradi

Eleza kwa undani kuhusu mradi wako, tatizo unalolitatua, na suluhisho lako.

2
Ongeza Picha au Video

Pakia picha au video za mradi wako ili kuonyesha wazi jinsi inavyofanya kazi.

3
Hakikisha Maelezo

Angalia kuwa maelezo yako ni sahihi, kamili, na yanakidhi mahitaji ya mashindano.

4
Wasilisha Mradi

Bofya kitufe cha 'Wasilisha Mradi' na subiri ujumbe wa uthibitisho kutoka kwetu.